Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi ya Mkuu w Mkoa wa
Songwe katika eneo la Selewa wilayani Mbozi , Julai 6, 2020. Wa tatu
kulia ni Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, wa pili kulia ni Mkuu wa
mkoa wa Songwe, Brigedia Jenerali Nicodemus Mwangela na kulia ni Katibu
Tawala wa mkoa wa Songwe, David Kafulila. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM
wa Mkoa wa Songwe, Eliniko Mkola na wa pili kushoto ni Mkuu wa Wilaya
ya Mbozi, John Palingo.
Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
wa Songwe ambalo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aliweka jiwe la msingi
katika eneo la Selewa wilayani Mbozi, Julai 6, 2020. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na viongozi wa mkoa wa Songwe kabla ya kukagua na kuweka
jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo, Julai 6, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akikagua ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe katika eneo
la Selewa wilayani Mbozi , Julai 6, 2020. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa
huo, Brigedia Jenerali Nicodemus Mwangela na kulia ni Katibu Tawala wa
Mkoa huo, David Kafulia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...