Msimamizi wa mradi wa ujenzi wa hosteli za Wanafunzi kutoka Kampuni
ya Suma JKT Injinia Issa Kanyaga akitoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya
kuhusu maendeleo ya mradi wa ujenzi wa hosteli eneo la Maekani -Kampasi
Kuu Morogoro.Mkuu
wa Wilaya ya Mvomero Mhe. Albinus Mugonya (Mwenye kaunda suti nyeusi)
akisalimiana na Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe (Taaluma) Prof.
Ganka Nyamsogoro mara baada ya kuwasili chuoni hapo.
Mkuu wa wilaya ya Mvomero Mhe. Albinus Mugonya akisaini kitabu cha Wageni
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...