Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (CGF) John Masunga, akiongea na Maafisa wa Benki ya NMB Makao Makuu waliotembelea Makao Makuu ya Jeshi hilo mapema leo asubuhi (Hawapo Pichani).
Meneja Mwandamizi Kitengo cha Wateja binafsi na Taasisi za Ulinzi na Usalama wa NMB Makao Makuu Bwa. Emmanuel Mahodanga, akitolea ufafanuzi jambo fulani aliloulizwa kwenye kikao, walipotembelea Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mapema leo asubuhi.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji John Masunga (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa Waandamizi wa Jeshi hilo na Maafisa wa Benki ya NMB Makao Makuu mapema leo asubuhi tarehe 08/07/2020. (Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...