Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas wa tatu kutoka kushoto akifuatiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe RPC George Kiando pamoja na maafisa wengine wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe wakiwa Wilaya ya Momba wakikagua mpaka wa Tunduma (Tanzania) na Zimbia. 
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas, katikati akionyeshwa jiwe la Mpaka wa Tanzania na Zambia na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe RPC George kiando wakati akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani huo leo .
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas katikati na kulia kwake vni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mapato katoka mpaka wa Tunduma Ndugu Hanangisia Mtasha, pamoja na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe RPC George Kiando wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kikao kazi hapo katika mpaka wa Tunduma.(Picha na Jeshi la Polisi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...