Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP
Liberatus Sabas wa tatu kutoka kushoto akifuatiwa na Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Songwe RPC George Kiando pamoja na maafisa wengine wa Jeshi la
Polisi Mkoa wa Songwe wakiwa Wilaya ya Momba wakikagua mpaka wa Tunduma
(Tanzania) na Zimbia.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...