Katibu
wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akizungumza na Maaskofu na Mapadre
kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya
utume wao walipotembelea ofisi za Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya ziara
ya mafunzo.





(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...