Wananchi wakiwa wamefurika katika kituo cha Mabasi Tandika wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam wakinunua mahitaji mbalimbali, kama wanavyoonekana pichani hii imekuwa ni kawaida katika maeneo mbalimbali ya jiji.
Wananchi wanalitoka maeneo mbalimbali ya jiji wakiwa katika zoezi la kusagula sagula viatu katika kituo cha mabasi Tandika wilaya ya Temeke Dar es salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv).
Wafanya biashara wa Jiji la Dar es Salaam wakiwasubiri wateja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...