Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi Uenyekiti wa (SADC) kwa Balozi wa Msumbiji hapa nchini Monica Patricio Clemente ambaye alipokea kwa niaba ya Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifatilia Mkutano wa 40 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa (SADC) uliokuwa ukifanyika kwa njia ya Mtandao mara baada ya kukabidhi Uenyekiti wa SADC kwa Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi aliyewakilishwa na Balozi wa Tanzania hapa nchini Monica Patricio Clemente Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 17 Agosti, 2020. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika mkutano wa 40 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC uliokuwa ukifanyika kwa njia ya Mtandao kabla ya kukabidhi Uenyekiti wa SADC kwa Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi aliyewakilishwa na Balozi wa Tanzania hapa nchini Monica Patricio Clemente Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 17 Agosti, 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifatilia Mkutano wa 40 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC uliokuwa ukifanyika kwa njia ya Mtandao kabla ya kukabidhi Uenyekiti wa SADC kwa Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi aliyewakilishwa na Balozi wa Tanzania hapa nchini Monica Patricio Clemente Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 17 Agosti, 2020.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika mkutano wa 40 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC uliokuwa ukifanyika kwa njia ya Mtandao kabla ya kukabidhi Uenyekiti wa SADC kwa Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi aliyewakilishwa na Balozi wa Tanzania hapa nchini Monica Patricio Clemente Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 17 Agosti, 2020.


PICHA NA IKULU
 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...