Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Balozi John Kijazi (pichani) kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Uteuzi huo umeanza leo Agosti 21, 2020, akichukua nafasi ya Hayati Rais Mstaafu Benjamin Mkapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...