RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli leo ametunukiwa tuzo ya ufanisi katika kuliongoza taifa pamoja na kulishinda janga la Corona (COVID-19) hapa nchini ambapo Mgonjwa wa kwanza kupatikana hapa nchini alitangazwa Machi 16,2020.
Tuzo hiyo ametunikiwa na Kanisa la Tanzania Asemblis of God (TAG) leo wakati akizungumza na Baraza kuu la kanisa hilo katika ukumbi wa chuo cha biblia Mijuji jijini Dodoma leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akishukuru kwa unyenyekevu baada ya kutunukiwa tuzo ya
heshima na Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) alipohudhuria
Kilele cha Mkutano Mkuu wa Kanisa hilo jijini Dodoma leo Ijumaa Agosti
14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akipokea tuzo ya heshima kutoka kwa Askofu mkuu wa
kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Dkt Barnabas Mtokambali
alipohudhuria Kilele cha Mkutano Mkuu wa Kanisa hilo jijini Dodoma leo
Ijumaa Agosti 14, 2020
jijini Dodoma leo Ijumaa Agosti 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akihutubia katika Kilele cha Mkutano Mkuu wa Kanisa la Tanzania
Assemblies of God (TAG) jijini Dodoma leo Ijumaa Agosti 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akishangilia akiwa meza kuu katika Kilele cha Mkutano Mkuu wa Kanisa
la Tanzania Assemblies of God (TAG) jijini Dodoma leo Ijumaa Agosti
14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiwasili katika Kilele cha Mkutano Mkuu wa Kanisa la
Tanzania Assemblies of God (TAG) jijini Dodoma leo Ijumaa Agosti 14,
2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa meza kuu na viongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of GOD
(TAG) wakati wa kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Kanisa hilo jijini Dodoma
leo Agosti 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kanisa la Tanzania
Assemblies of GOD (TAG) baada ya kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Kanisa
hilo jijini Dodoma leo Agosti 14, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika picha ya pamoja na Wainjilisti katika Mkutano Mkuu wa
Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) baada ya kuhudhuria Mkutano
Mkuu wa Kanisa hilo jijini Dodoma leo Agosti 14, 2020
PICHA NA IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiaga waumini baada ya kuhudhuria Kilele cha Mkutano Mkuu wa
Kanisa la Tanzania Assemblies of GOD (TAG) jijini Dodoma leo Agosti
14, 2020
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...