MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) , kwa niaba ya Bodi ya Wadhamini, anasikitika kutangaza kifo cha Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani CPA Shadrack O. Aiko kilichotokea tarehe 24 Agosti, 2020 jijini Dodoma.

Mfuko unatoa pole kwa familia ya marehemu, wafanyakazi wenzake, ndugu, jamaa na marafiki. Taratibu za mazishi zinafanyika Bunju, Jijini Dar es Salaam na maziko yatafanyika tarehe 30 Agosti 2020 Shirati, Rorya mkoani Mara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...