Mkurugenzi Mtendaji wa (TASAF) Bw. Ladslaus Mwamanga akimkaribisha Injinia Emmanuel Kalobelo Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro kulia ili kufungua semina ya wahariri wa vyombo vya habari kuhusu Mpango wa Tatu wa Kunusuru kaya masikini awamu ya pili inayofanyika Chuo Cha Veta mkoani Morogoro kushoto ni Selina Wilson Mwenhyekiti wa semina hiyo.
 Injinia Emmanuel Kalobelo Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro akifungua semina ya wahariri wa vyombo vya habari kuhusu Mpango wa Tatu wa Kunusuru kaya masikini inayofanyika Chuo Cha Veta mkoani Morogoro katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa (TASAF) Bw. Ladslaus Mwamanga na Selina Wilson Mwenyekiti wa Semina hiyo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa (TASAF) Bw. Ladslaus Mwamanga kushoto,   Injinia Emmanuel Kalobelo Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro na Mhariri wa. Gazeti la Uhuru Selina Wilson wakifuatilia kwa karibu mjadala uliokuwa ukiendelea katika semina hiyo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa (TASAF) Bw. Ladslaus Mwamanga akiwasilisha mada kwa wahariri wa vyombo vya habari na waandishi wa habari katika semina iliyofanyika kwenye Chuo cha VETA mjini Morogoro.
 Amadeus Kamagenge Mkurugenzi Miradi ya Huduma za Jamii TASAF akifafanua jambo katika semina hiyo.
Picha ya Pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...