Tume ya Taifa ya Uchaguzi ni miongoni mwa washiriki wa Maonesho ya Wakulima maarufu Nane Nane ambapo mwakahuu wameshiriki katika Kanda mbili za Maonesho hayo Kanda ya Mashariki Mkoani Morogoro na Kanda ya Kati jijini Dodoma. Pichani ni Maofisa wa Tume hiyo wakitoa elimu kwa wageni waliotembelea Banda la Maonesho Nane Nane Kanda ya Kati Dodoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...