Muuza bidhaa za Vodacom Thomas Jacob, akitoa maelezo kwa wateja kuhusu ubora wa simu za Smart Kitochi, katika viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu, wakati wa maonesho ya nane nane. Meneja Biashara na Mkakati wa Mauzo wa Vodacom, kanda ya kati Baraka Siwa (kushoto) akimuonesha mteja, Patrick Sulpice simu aina ya smart kitochi yenye 4G ambayo imepunguzwa bei kutoka 48,000 hadi 45,000  alipotembelea banda la kampuni hiyo jana  kwenye maonesho ya nanenane kanda ya kati yanayoendelea eneo la Nzuguni Jijini Dodoma.
Wasanii wa kikundi cha Simiyu Comedy, wakitumbuiza kwenye banda la Vodacom, katika viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu, kwenye maonesho ya  nane nane.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...