MGENI Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Mfumo wa kutoa Maoni kwa njia ya Kidigitali QR, Mhe. Ussi Salum Pondeza (wa pili kulia) akikata utepe ikiwa ni ishara ya ufunguzi wa mfumo huo, katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Tawi la Benki ya CRDB Zanzibar, Kisiwandui Mjini Unguja. Wapili kulia ni Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Pwani, Badru Idd.
Meneja wa Benki ya CRDB Kanda ya Pwani, Badru Idd, akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mfumo wa kutoa Maoni kwa njia ya Kidigitali QR. Hafla iliofanyika katika ofisi za tawi hilo Kisiwandui Mjini Unguja.
Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Mfumo wa kutoa Maoni kwa njia ya Kidigitali QR. Mhe. Ussi Salum Pondeza, akizungumza na mawakala, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika ofisi za tawi hilo Kisiwandui Mjini Unguja.
Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Mfumo wa kutoa Maoni kwa njia ya Kidigitali QR. Mhe. Ussi Salum Pondeza, akijaribu kujiunga kwa kutumia simu yake ya mkononi ili aweze kutoa maoni yake kwa njia ya Kidigitali.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki hiyo na Mawakala wakifatilia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...