MGOMBEA Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma kwa ajili ya kuwahutubia wananchi wa Kigoma katika Mkutano wa Kampeni za CCM leo tarehe 18 Septemba 2020.

Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi mara baada ya kuwasili katika  Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma kwa ajili ya kuwahutubia wananchi wa Kigoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...