Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Dkt.Leonard Akwilapo akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa  Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA)Prof. Carolyne  Nombo wakati alipotembelea Banda la Taasisi hiyo katika maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam,Katibu Mkuu huyo alisema TIA wamejipanga vizuri na kuendelea kufanya vizuri zaidi katika kutoa elimu nchini katika eneo la uhasibu.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Dkt.Leonard  Akwilapo akipata maelezo kutoka Mkuu wa Kitengo cha  Masoko na  Uhusiano  kwa  Umma  Lilian  Mpanju Rugaitika wakati alipotembelea maonesho ya vyuo vikuu yanayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mkuu  wa  Kitengo  cha Masoko na Uhusiano kwa Umma wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Lilian Mpanju Rugaitika akipata akitoa maelezo kwa wanafunzi  wa wanaotaka kujiunga na chuo wakati waliotembelea Banda la TIA katika maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...