Mgombea
Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi
ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi kitabu cha Ilani ya CCM ya 2020/25
Mbunge mteule kwa tiketi ya CCM Jimbo la Mahuta Tandahimba Katawi Ahmad
Katawi kwa ajili ya kuinadi kwenye mikutano ya Kampeni wa Chama cha
Mapinduzi CCM leo Septemba 11,2020.
Mgombea
Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi
ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi
na Wananchi wa Jimbo la Mahuta Wilaya ya Tandahimba Mkoani Mtwara baada
ya kuwahutubia mkutano wa Kampeni wa Chama cha Mapinduzi CCM katika
Uwanja wa Mahuta Tandahimba Mtwara leo Septemba 11,2020.
Jumla
ya Wanachama 150 kutoka Vyama ACT Wazalendo, CUF na Chadema Wilayani
Tandahimba wakionesha na kurudisha kadi zilizokuwa za Vyama walivyotoka
baada ya kuamuwa kuvihama Vyama hivyo na kujiunga na Chama cha Mapinduzi
CCM kwenye mkutano wa Kampeni wa Chama cha Mapinduzi CCM uliofanyika
leo Septemba 11,2020 katika Uwanja wa Mahuta Wilayani Tandahimba ambapo
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliwapokwa Wananchi hao. (Picha na
Ofisi ya Makamu wa Rais)
Mgombea
Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi
ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi
na Wananchi wa Jimbo la Mahuta Wilaya ya Tandahimba Mkoani Mtwara baada
ya kuwahutubia mkutano wa Kampeni wa Chama cha Mapinduzi CCM katika
Uwanja wa Mahuta Tandahimba Mtwara leo Septemba 11,2020.
Jumla
ya Wanachama 150 kutoka Vyama ACT Wazalendo, CUF na Chadema Wilayani
Tandahimba wakionesha na kurudisha kadi zilizokuwa za Vyama walivyotoka
baada ya kuamuwa kuvihama Vyama hivyo na kujiunga na Chama cha Mapinduzi
CCM kwenye mkutano wa Kampeni wa Chama cha Mapinduzi CCM uliofanyika
leo Septemba 11,2020 katika Uwanja wa Mahuta Wilayani Tandahimba ambapo
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliwapokwa Wananchi hao. (Picha na
Ofisi ya Makamu wa Rais)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...