Kituo cha Afya Kasamwa kilichopo Mjini Geita leo kimefanikiwa kufanya upasuaji wa kwanza wa kumtoa mtoto tumboni mwa Mama. Mtoto huyo ana uzito wa kilo 3, ana afya njema na Mama yake pia ana afya njema. Kituo hiki kimeanza kutoa huduma jana Agosti 07, 2020. Ni miongoni mwa vituo vya afya 487 vilivyojengwa nchini tangu Rais Magufuli aingie madarakani Novemba 2015. Haya ni mafanikio makubwa
Home
AFYA
KITUO CHA AFYA GEITA CHAFANIKIWA KUFANYA UPASUAJI WA KWANZA WA KUMTOA MTOTO TUMBONI MWA MAMA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...