Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Jimbo la Kyela Mkoani Mbeya alipowasili katika Uwanja wa Mwakangale kwa ajili ya kuhutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Jimbo la Kyela Mkoani Mbeya mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Mwakangale Kyela
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimvalisha kofia kada wa CCM Mzee Adam (80)mkazi wa Kyela Mbeya baada ya kuwahutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Mwakangale Kyela Mkoani Mbeya
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akinong’onezana jambo na mmoja wa kada wa CCM Wilayani Kyela baada ya kuwahutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Mwakangale Kyela Mkoani Mbeya.
Sehemu ya wananchi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, wakati akihutubia Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Jimbo la Kyela Mkoani Mbeya mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Mwakangale Kyela
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Jimbo la Kyela Mkoani Mbeya baada ya kuwahutubia mkutano wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Mwakangale Kyela Mkoani Mbeya leo Septemba 22,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...