Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya
Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akihutubia Wananchi wa Katoro katika mkutano wa Kampeni za CCM wakati
akielekea Chato mkoani Geita leo tarehe 9 Septemba 2020.
Waziri wa Madini Doto Biteko akiwa na pacha wake Kurwa Biteko pamoja na wagombea Ubunge wengine wa CCM mkoa Geita.

Sehemu ya Wananchi wa Katoro na
Buseresere wakishangilia wakati Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama
cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili
Katoro mkoani Geita.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...