Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Maelfu ya Wananchi wa Mbeya mjini katika Mkutano wa Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM uliofanyika leo tarehe 30 Septemba 2020 katika uwanja wa Airport mkoani Mbeya
Sehemu ya Wananchi wa Mbeya wakiwa wamefurika katika viwanja vya Airport mjini Mbeya kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia leo 30 Septemba 2020
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...