Mgombea Mwenza wa
Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM
ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi na Wanachama wa Chama cha
Mapinduzi na Wananchi wa Jimbo la Mtwara Mjini alipowasili katika
Viwanja vya Sabasaba Mtwara Mjini kwa ajili ya kuhutubia Mkutano wa
Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM leo Septemba 10,2020. Mkoani
Mtwara.

Mgombea Mwenza wa
Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM
ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na
Wananchi wa Jimbo la Mtwara Mjini katika mkutano wa Kampeni wa Chama
cha Mapinduzi CCM kwenye Viwanja vya Sabasaba Mtwara Mjini Mkoani Mtwara
leo Septemba 10,2020.
Wanachama
wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Jimbo la Mtwara Mjini
wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akiwahutubia
kwenye mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi CCM katika Viwanja vya
Sabasaba Mtwara Mjini leo Septemba 10,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...