Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar (ZHELB) Idd Khamis Haji (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Tanzania Bara, Abdul-Razaq Badru wakati wa ziara ya kikazi katika Ofisi za HESLB zilizopo Tazara Jijini Dar es Salaam jana Jumatano (Septemba 16, 2020).

Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Elimu Zanzibar (ZHELB) Idd Khamis Haji (katikati) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Tanzania Bara, Abdul-Razaq Badru (kulia) wakati wa ziara ya kikazi katika Ofisi za HESLB zilizopo Tazara Jijini Dar es Salaam jana Jumatano (Septemba 16, 2020). Kushoto ni Meneja Mikopo wa ZHELB Aboud Iddi Khamis.

Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya Elimu Zanzibar (ZHELB) Idd Khamis Haji (katikati) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Tanzania Bara, Abdul-Razaq Badru (kulia) wakati wa ziara ya kikazi katika Ofisi za HESLB zilizopo Tazara Jijini Dar es Salaam jana Jumatano (Septemba 16, 2020). Kushoto ni ni Meneja Mikopo wa ZHELB Aboud Iddi Khamis.

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul-Razaq Badru (kushoto) akizungumza wakati wa ziara ya kikazi iliyofanywa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar (ZHELB) ikiongozwa na Mkurugenzi wa ZHELB, Idd Khamis Haji (kulia) pamoja na watendaji wengine wa ZHELB waliotembelea katika Ofisi za Makao Makuu ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam jana Jumatano (Septemba 16, 2020).

(PICHA NA BODI YA MIKOPO)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...