Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo
ya Elimu ya Juu Zanzibar (ZHELB) Idd Khamis Haji (kushoto) akizungumza
na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB)
Tanzania Bara, Abdul-Razaq Badru wakati wa ziara ya kikazi katika Ofisi
za HESLB zilizopo Tazara Jijini Dar es Salaam jana Jumatano (Septemba
16, 2020).

Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya
Elimu Zanzibar (ZHELB) Idd Khamis Haji (katikati) akizungumza na
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Tanzania
Bara, Abdul-Razaq Badru (kulia) wakati wa ziara ya kikazi katika Ofisi
za HESLB zilizopo Tazara Jijini Dar es Salaam jana Jumatano (Septemba
16, 2020). Kushoto ni Meneja Mikopo wa ZHELB Aboud Iddi Khamis.

Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo ya
Elimu Zanzibar (ZHELB) Idd Khamis Haji (katikati) akizungumza na
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) Tanzania
Bara, Abdul-Razaq Badru (kulia) wakati wa ziara ya kikazi katika Ofisi
za HESLB zilizopo Tazara Jijini Dar es Salaam jana Jumatano (Septemba
16, 2020). Kushoto ni ni Meneja Mikopo wa ZHELB Aboud Iddi Khamis.

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya
Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul-Razaq Badru (kushoto)
akizungumza wakati wa ziara ya kikazi iliyofanywa na Bodi ya Mikopo ya
Elimu ya Juu Zanzibar (ZHELB) ikiongozwa na Mkurugenzi wa ZHELB, Idd
Khamis Haji (kulia) pamoja na watendaji wengine wa ZHELB waliotembelea
katika Ofisi za Makao Makuu ya HESLB, Tazara Jijini Dar es Salaam jana
Jumatano (Septemba 16, 2020).

(PICHA NA BODI YA MIKOPO)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...