Na Kaiza Pancras, Michuzi Tv

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Nedy Music amjibu shabiki yake katika ukurasa wake wa Instagram kuwa hatumii kiki ili kuendeleza muziki wake

Nedy music alimjibu shabiki huyo kwa kumwambia hatumii kiki kama wasanii wengine ili kukuza muziki wake.

"Broh I don't do kiki,nafanya muziki ambao watu wamenijua kupitia huo na kunisapoti." Nedy music aliandika hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Pia mashabiki wamemuuliza kuhusu kutoa kazi zake mpya maana amekaa kipindi kirefu bila kutoa nyimbo ambapo imepelekea mashabiki zake kukosa burudani ya muziki kutoka kwake 

Nedy music amewaahidi mashabiki hao kuwa hivi karibuni atatoa ngoma mpya ambayo itawafanya mashabiki zake waburudike tena

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...