RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiondoa kipazia kukifungua Kiwanda Kipya cha Kukamulia Majani Makavu ya Mkarafuu Mgelema Wilaya ya Chakechake Pemba, (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar Mhe. Balozi Amina Salim Ali na (kulia kwa Rais) Balozi wa Indonesia Nchini Tanzania Mhe.Prof.Dr.Ratlan Pardede na Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Mhe,
Haasan Hafidh

RAIS wa Zanziubar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akipongezana na Balozi wa Indonesia Nchini Tanzania Mhe.Prof.Dr. Ratlan Pardede baada ya kuondoa kipazia kuweka jiwe la msingi la Kiwanda Kipya cha Kukamulia Majani Makavu ya Mkarafuu kilichoko Mgelema Wilaya ya Wete Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akimsikiliza Afisa Maabara wa ZSTC Pemba Ndg.Ali Amour Hamad, baada ya kukifungua Kiwanda Kipya cha Kukamulia Majani Makavu ya Mkarafuu Mgelema Wilaya ya Mkoani Pemba

WASANII kutoka Indonesia wakitowa burudani wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kiwanda Kipya cha Kukamulia Majani Makavu ya Mkarafuu Mgelema Wilaya ya Chakechake Pemba.(Picha na Ikulu)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...