RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Madawati Zanzibar, baada ya kukabidhiwa ripoti ya Kamati hiyo na (kulia kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Kamati ya Madawati Zanzibar na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa

Umma Mhe.Haroun Ali Suleiman,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa

Ikulu Jijini Zanzibar.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma  na Mwenyekiti wa Kamati ya Madawati Zanzibar. Mhe. Haruon Ali Suleiman akizungumza wakati wa kukabidhi ripoti ya ukusanyaji wa madawati Zanzibar,mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kushoto) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe.

RAIS wa Zanzibar n a Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akikabidhiwa ripoti ya ukusanyaji wa Madawati Zanzibar na Mwenyekiti wa Kamati ya Madawati Zanzibar na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma Mhe. Haroun Ali Suleiman, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

WAJUMBE wa Kamati ya Madawati  Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) wakati hafla hiyo ya kukabidhi ripoti ya Kamati kwa Rais leo 30-9-2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...