MSANII Banana Zoro akitumbiza wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo la Tanga (CCM) Ummy Mwalimu leo kwenye viwanja vya TangamanoJijini Tanga ambapo uzinduzi huo ulifanywa na Mjumbe wa Halmashauri Kuuya CCM Taifa na Waziri Mkuu Kasim MajaliwaMsanii wa Bongofleva Madee akitumbiza wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo laTanga (CCM) Ummy Mwalimu leo kwenye viwanja vya Tangamano Jijini Tangaambapo uzinduzi huo ulifanywa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifana Waziri Mkuu Kasim MajaliwaMSANII wa Mziki wa Bongofleva nchini Shilole akitumbiza wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo laTanga (CCM) Ummy Mwalimu leo kwenye viwanja vya Tangamano Jijini Tangaambapo uzinduzi huo ulifanywa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifana Waziri Mkuu Kasim MajaliwaMsanii Shilole akionyesha umahiri wake  wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Ubunge Jimbo laTanga (CCM) Ummy Mwalimu leo kwenye viwanja vya Tangamano Jijini Tangaambapo uzinduzi huo ulifanywa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifana Waziri Mkuu Kasim MajaliwaMsanii wa Mziki wa Bongo Fleva Maua Sama akitumbuiza wakati wa Uzinduzi huo
Msanii wa Mziki wa Bongofleva Msagasumu akitumbuiza
MSANII lulu Diva akitumbuiza wakati wa uzinduzi huoMsanii Mrisho Mpoto akionyesha umahiri wake wa kucheza wakati wa uzinduzi huoMsanii wa Mziki wa Bongofleva Malkia Karen akitumbuiza wakati wa uzinduzi huo
Msanii wa Mziki wa Bongo Fleva Kassim Mganga akitumbuiza wakati wa uzinduzi huo
Mjumbewa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu Kasim Majaliwa katikatiakifurahi burudani kutoka kwa wasanii wa bongofleva wakati wa uzinduziwa kampeni za mgombea Ubunge wa Jimbo la Tanga (CCM) Ummy Mwalimu kuliakushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Henry Sheifu
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu Kasim Majaliwakatikati akifurahi burudani kutoka kwa wasanii wa bongofleva wakati wauzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa Jimbo la Tanga (CCM) UmmyMwalimu kulia kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Henry Shekifu na Mkuu wa mkoa wa Tanga Martine Shigella Mjumbewa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu Kasim Majaliwa akitetajambo na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tanga (CCM) Ummy Mwalimu kuliawakati wauzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa Jimbo la Tanga (CCM) UmmyMwalimu na  kulia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...