
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM akimnadi na kumuombea kura Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni, ndg Abasi Tarimba katika Mkutano uliofanyika Uwanja wa Biafla Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM akimkabidhi Mgombea ubunge wa Jimbo la Kinondoni ndg Abasi Tarimba ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020-2025 wakati akimnadi na kumuombea kura katika Mkutano uliofanyika katika Uwanja wa Biafla Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...