Mkuu wa wilaya ya Musoma, Dk. Vincent Anney Naano (wapili kushoto) akikata utepe kuzindua duka jipya la kisasa la Vodacom lililopo Musoma mjini. Wengine kutoka kushoto ni Msimamizi wa Duka hilo, Cosmas Mseti, Kaimu Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya Ziwa, Ahmed Akbarali , Meneja mauzo mwandamizi Vodacom kanda ya Ziwa, Viktoria Chale.
Mkuu wa wilaya ya Musoma, Dk. Vincent Anney Naano akipata huduma toka kwa mtoa huduma wa duka jipya la Vodacom lililopo Musoma mjini.
 
Mkuu wa wilaya ya Musoma, Dk. Vincent Anney Naano  (kushoto) akipata maelezo ya bidhaa mbalimbali zilizopo duka jipya la Vodacom wilayani humo toka kwa Kaimu Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya Ziwa, Ahmed Akbarali mara baada ya uzinduzi wa duka hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...