Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na Mjumbe Kamati kuu ya CCM Komred Kheri James (MCC) amewaongoza wanachama na wananchi katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi ktk Jimbo la Ilemela mkoani Mwanza.
Katika uzinduzi huo,Komred Kheri James amemnadi mgombea wa Jimbo la Ilemela Dkt.Angeline Mabula,pamoja na madiwani wa Kata zote 19 za jimbo hilo.
Komred Kheri James(MCC)ameitumia fursa hiyo kueleza ubora wa Ilani ya uchaguzi ya CCM pamoja na umahiri wa wagombea wa chama Cha Mapinduzi wa ngazi zote,na amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi tarehe 28/10/2020 kupiga kura kwa wingi ili chama cha mapinduzi kipate nafasi ya kuendeleza maegeuzi makubwa ya kiuchumi na kimaendeleo kwa maslahi ya Taifa letu na watu wake wote.
Uzinduzi huo umehudhuriwa na viongozi wa mkoa wa CCM,wilaya,kata,matawi,mashina,wananchi,pamoja na wagombea wa majimbo jirani wakiongozwa na Mh.Mbunge mteule wa jimbo la Mtama Komred Nape Moses Mnauye.
#Tukutane kazini..




Katika uzinduzi huo,Komred Kheri James amemnadi mgombea wa Jimbo la Ilemela Dkt.Angeline Mabula,pamoja na madiwani wa Kata zote 19 za jimbo hilo.
Komred Kheri James(MCC)ameitumia fursa hiyo kueleza ubora wa Ilani ya uchaguzi ya CCM pamoja na umahiri wa wagombea wa chama Cha Mapinduzi wa ngazi zote,na amewaomba wananchi kujitokeza kwa wingi tarehe 28/10/2020 kupiga kura kwa wingi ili chama cha mapinduzi kipate nafasi ya kuendeleza maegeuzi makubwa ya kiuchumi na kimaendeleo kwa maslahi ya Taifa letu na watu wake wote.
Uzinduzi huo umehudhuriwa na viongozi wa mkoa wa CCM,wilaya,kata,matawi,mashina,wananchi,pamoja na wagombea wa majimbo jirani wakiongozwa na Mh.Mbunge mteule wa jimbo la Mtama Komred Nape Moses Mnauye.
#Tukutane kazini..




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...