Na Amiri Kilagalila,Njombe
Zaidi ya waandishi wa
habari 17 wawakilishi kutoka vyombo mbali mbali Tanzania mkoani
Njombe,wametunukiwa vyeti vya ushiriki wa semina na mafunzo ya Jinsia na
usalama mahala pa kazi kutoka Chama cha wafanyakazi wa vyombo vya
habari Tanzania (JOWUTA)
Wanahabari hao wametunukiwa vyeti vya ushiriki mara baada ya kuhitimisha semina ya siku mbili iliyofanyika katika ukumbi wa Dosmeza mjini Njombe huku wakitakiwa kwenda kufanya kazi kwa mujibu wa taratibu na sheria za nchi huku wakizingatia maadili ya kazi zao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...