Na Amiri Kilagalila,Njombe 

Zaidi ya waandishi wa habari 17 wawakilishi kutoka vyombo mbali mbali Tanzania mkoani Njombe,wametunukiwa vyeti vya ushiriki wa semina na mafunzo ya Jinsia na usalama mahala pa kazi kutoka Chama cha wafanyakazi wa vyombo vya habari Tanzania (JOWUTA) 

Wanahabari hao wametunukiwa vyeti vya ushiriki mara baada ya kuhitimisha semina ya siku mbili iliyofanyika katika ukumbi wa Dosmeza mjini Njombe huku wakitakiwa kwenda kufanya kazi kwa mujibu wa taratibu na sheria za nchi huku wakizingatia maadili ya kazi zao.



 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...