
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa akimsikiliza Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi, Dkt. Mussa Ali Mussa alipofika ofisini kwake kukutana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa huo akiwa kwenye ziara ya kikazi mikoa ya Kusini kufanya ukaguzi ili kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 unafanyika salama na kwa amani.

Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii, Dkt. Mussa Ali Mussa akitoa maelekezo ya kiutendaji kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Mark Njera pamoja na baadhi ya Makamanda wa Polisi wa Wilaya.

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa akimsikiliza Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi, Dkt. Mussa Ali Mussa alipofika ofisini kwake kukutana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa huo akiwa kwenye ziara ya kikazi mikoa ya Kusini kufanya ukaguzi ili kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 unafanyika salama na kwa amani.

Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii, Dkt. Mussa Ali Mussa akitoa maelekezo ya kiutendaji kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, Mark Njera pamoja na baadhi ya Makamanda wa Polisi wa Wilaya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...