Mjumbe
wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim
Majaliwa akizungumza wakati alipomuombea kura Mgombea Urais wa CCM,
Dkt. John Pombe Magufuli, Wabunge na Madiwani wa CCM katika mkutano wa
kampeni uliofanyika Kitangali, Newala Vijijini, Oktoba 20, 2020. Wananchi
wa Newala Vijijini wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri
Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa wakati alipomuombea kura Mgombea
Urais wa CCM, Dkt. John Pombe Magufuli, Wabunge na Madiwani wa CCM
katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kitangali, Newala Vijijini, Oktoba
20, 2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...