Idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni 29,759,699
Wapiga kura waliojitokeza Kura - 15,910,950
Idadi ya kura halali 14,830,195
Idadi ya Kura zilizokataliwa 261,755
Kura Walizopata Wagombea
Dkt John Pombe Magufuli CCM
Kura - 12,516,252
Leopard Lucas Mahona NRA
Kura -8787
John Paul Shibuda ADA- TADEA
Kura - 33,086
Muttamwega Mgaywa SAU
Kura - 14,922
Cecilia Augustino Mmanga (Demokrasia Makini)
Kura - 14,556
Maganja Yeremia Kurwa (NCCR)
Kura - 19,969
Lipumba Ibrahim Haruna (CUF)
Kura - 72,885
Philipo John Fumbo (DP)
Kura - 8,283
Membe Benard Kamillius(ACT)
Kura - 81,129
Queen Curthibert Sendiga (ADC)
Kura - 7627
Twalib Ibrahim Kadege (UPDP)
kura - 6194
Rungwe Hashim Spunda (CHAUMMA)
Kura - 32,878
Mazrui Alfan Mohamed (UMD)
Kura - 3721
Seif Maalim Seif (AAFP)
Kura - 4,635
Lissu Tundu Antiphas Mughwai (CHADEMA)
Kura - 1,933,271
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...