Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Zanzibar katika mkutano wa Kampeni za Urais kwa CCM uliofanyika katika uwanja wa Mnazi mmoja kisiwani Zanzibar leo tarehe 03 Oktoba 2020.

 

Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar leo tarehe 03 Oktoba 2020.

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, mgombea Urais wa Zanzibar Husein Ali Hassan Mwinyi pamoja na viongozi wengine wakiomba dua kabla ya kuanza kwa mkutano wa Kampeni za CCM katika viwanja wa Mnazi mmoja leo tarehe 03 Oktoba 2020.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...