Mgombea Urais Kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi Rais Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akiwaonesha wananchi namna ya Kupiga Kura na  kuwaomba wamchague katika Chuo cha Mipango Jijini Dodoma leo. Wananchi wa Dodoma wakimsikiliza Mgombea Urais Kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli akiwaomba Kura.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...