Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili kuhutubia mkutano wa hadhara wa kampeni mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani leo Jumatatu Oktoba 19, 2020
Shehe Mkuu wa Mkoa wa Pwani Sheikh Khamis Mtopa akiomba dua kabnla Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli kuhutubia mkutano wa hadhara wa kiampeni mjini Bagamoyo mkoa wa Pwani leo Jumatatu Oktoba 19, 2020




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...