Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

akiwa na balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe. David William Cancar, Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki Profesa

Palamagamba Kabudi na maafisa wa Ubalozi na wa Ikulu wakifurahia

baada ya Balozi huyo kukabidhi hati zake za Utambulisho kwenye

hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 5, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwangalia balozi mteule wa Pakistan nchini Tanzania

Mhe. Muhammad Saleem akiwasilisha kwake hati zake za utambulisho kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 5,

2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifanya mazungumzo na balozi wa Pakistan nchini Tanzania Mhe. Muhammad Saleem kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es

salaam leo Oktoba 5, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisikiliza wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje Brigedia Jenerali Ibuge akimtambulisha balozi mteule wa Uswisi nchini Tanzania Mhe. Didier Chassot kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 5, 2020



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na balozi wa Uswisi nchini Tanzania Mhe. Didier Chassot kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es

salaam leo Oktoba 5, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

akisikiliza wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje Brigedia

Jenerali Wilbert Ibuge akimtambulisha balozi mteule wa Uingereza

nchini Tanzania Mhe. David William Cancar kwenye hafla iliyofanyika

Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 5, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulia akiangaliawakati balozi mteule wa Uingereza nchini Tanzania Mhe.

David William Cancar akiwasilisha hati zake za utambulisho kwenye

hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 5, 2020

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...