Ratiba ya Kumuaga Marehemu Gosbert Mutagaywa Tarehe 17 Oktoba 2020. 

1. Mwili wa Marehemu kuwasili nyumbani (Dr. Nshala) Ununio••••••• saa 5 asubuhi. 

2.Chakula Cha Mchana (wote)                                  •••••••saa 6:30 hadi saa 8 mchana. 

3. Kuelekea kanisani (Mt. Yohane Paulo II- Ununio) ••••••• Saa 8:15- 8:30 

4. Misa                                                                   ••••••• Saa 9 - 10:30  

5. Salamu za vikundi mbalimbali                         •••••••Saa 10:30-10:50  

6. Shukurani                                                          •••••••Saa 10:50-10:55 

7. Kupeleka Mwili wa Marehemu Mochwari      ••••••• Saa 11 

8.Mwili utasafirishwa Jumatatu na mazishi yatafanyika Jumanne kijijini Muhutwe mkoani Kagera. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...