Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi (wa pili kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano, Rosalynn Mworia (kulia), Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications (MCL), Bakari Machumu(wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Biashara wa Vodacom, Linda Riwa wakati wa hafla ya kuzindua  maadhimisho ya miaka 20 ya Vodacom Tanzania leo

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi(wa pili kushoto) akimkabidhi Tuzo za kutambua mchango wa Tasnia ya habari kwa kampuni hiyo, wawakilishi wa TBC, Angela Mang’enya na Gloria Michael wakati wa hafla ya kuzindua  maadhimisho ya miaka 20 ya Vodacom Tanzania jana.  Wengine ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano, Rosalynn Mworia (kushoto) na kulia ni Mkurugenzi wa Biashara wa Vodacom, Linda Riwa

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi(wa pili kushoto) akimkabidhi Tuzo za kutambua mchango wa Tasnia ya habari kwa kampuni hiyo, mwakilishi wa Gazeti la The Guardian, Frank Monyo   wakati wa hafla ya kuzindua  maadhimisho ya miaka 20 ya Vodacom Tanzania.  Wengine ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano, Rosalynn Mworia (kushoto) na Mkurugenzi wa Biashara wa Vodacom, Linda Riwa.

Mkurugenzi wa Biashara wa Vodacom, Linda Riwa akizungumza na wageni waalikwa wakati wa hafla ya kuzindua  maadhimisho ya miaka 20 ya Vodacom Tanzania  leo

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi akizungumzia safari ya Vodacom toka kuanzishwa kwake nchini kwa wageni waalikwa wakati wa hafla ya kuzindua  maadhimisho ya miaka 20 ya Vodacom Tanzania leo

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano, Rosalynn Mworia akizungumza na wageni waalikwa wakati wa hafla ya kuzindua  maadhimisho ya miaka 20 ya Vodacom Tanzania  leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...