Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare(kulia) akimkabidhi zawadi ya Keki mteja wa Vodacom, Paul Bendera mkazi wa Kigamboni kwenye maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika kwenye duka la Vodacom Mlimani City Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja wa Duka la Vodacom Mlimani city, Zabibu Kasele.
Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare akimkabidhi zawadi ya Ua mteja wa Vodacom, Saumu Ally mkazi wa Kimara kwenye maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika kwenye duka la Vodacom Mlimani City Jijini Dar es Salaam.








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...