Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare(kulia) akimkabidhi zawadi ya Keki mteja wa Vodacom, Paul Bendera mkazi wa Kigamboni kwenye maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika kwenye duka la Vodacom Mlimani City Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja wa Duka la Vodacom Mlimani city, Zabibu Kasele.


 

 Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania PLC, Harriet Lwakatare akimkabidhi zawadi ya Ua mteja wa Vodacom, Saumu Ally mkazi wa Kimara kwenye maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika kwenye duka la Vodacom Mlimani City Jijini Dar es Salaam.

 



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...