Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega akiwasalimia wananchi wa  mkoa wa Pwani  baaada ya mgombea Urais kuondoka katika uwanja wa kampeni Mwanakalenge  Bagamoyo mkoa wa Pwani,tarehe 19 Oktoba 2020.

(Picha na Emmanuel Massaka,Michuzi Tv)
Maelfu ya Wafuasi wa Chama cha Mapinduzi wakiwa katika mkutano mkuu wa  Kampeni katika viwanja vya Mwanakalenge Bagamoyo mkoa wa Pwani leo Oktoba 19, 2020.

(Picha na Emmanuel Massaka,Michuzi Tv)
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga, Abdallah Ulega  akinadi Ilani ya Chama cha Mapinduzi ambapo amewaomba wananchi wa Mkuranga wachague wagombea wa CCM ili kupata maendeleo  katika mkutano wa  kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Mwanakalenge  Bagamoyo mkoa wa Pwani.

(Picha na Emmanuel Massaka,Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...