Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akipokea maelezo ya ujenzi wa
Kivuko cha Mafia, kitakachotoa huduma kati ya Nyamisati, wilayani
Kibiti na Kisiwa cha Mafia, kutoka kwa Kaimu Meneja – TEMESA, Mkoa wa
Pwani, Injinia Rehana Juma, wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa
kivuko hicho, kwenye karakana ya Songoro Marine, iliyopo Kigamboni,
jijini Dar es salaam, Oktoba 5, 2020.



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Mkurugenzi wa Ufundi, Kampuni ya Songoro Marine, Khalid Songoro, wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi wa Kivuko cha Mafia, kitakachotoa huduma kati ya Nyamisati, wilayani Kibiti na Kisiwa cha Mafia, kwenye karakana ya Songoro Marine, iliyopo Kigamboni, jijini Dar es salaam, Oktoba 5, 2020.



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua maendeleo yaujenzi wa Kivuko cha Mafia, kitakachotoa huduma kati ya Nyamisati,
wilayani Kibiti na Kisiwa cha Mafia, kwenye karakana ya Songoro
Marine, iliyopo Kigamboni, jijini Dar es salaam, Oktoba 5, 2020.
Kivuko cha Mafia, kinachotegemea kuanza kutoa huduma mwezi ujao baada ya kukamilika kwa majaribio, kati ya Nyamisati, wilayani
Kibiti na Kisiwa cha Mafia, kinachotengenezwa na Kampuni ya Songoro
Marine, iliyopo Kigamboni, jijini Dar es salaam, Oktoba 5, 2020.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...