Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi, Dkt Mussa Ali Mussa yupo katika muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya kusini ya kukagua maandalizi ya mpango kazi wa usimamizi wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 28, 2020.
Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi, Dkt Mussa Ali Mussa akiongea na wananchi wa Kijiji Cha Kitaya Kata ya Kitaya Wilaya ya Mtwara vijijini mpakani mwa Tanzania na Msumbiji.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...