Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi, Dkt Mussa Ali Mussa yupo katika muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya kusini ya kukagua maandalizi ya mpango kazi wa usimamizi wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 28, 2020.

Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii wa Jeshi la Polisi, Dkt Mussa Ali Mussa akiongea na wananchi wa Kijiji Cha Kitaya Kata ya Kitaya Wilaya ya Mtwara vijijini mpakani mwa Tanzania na Msumbiji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...