Mkuu wa Wilaya ya Magu, Salum Kalli aku Masanja akiwa amekalia kiti cha enzi utemi wa Wasukuma baada ya kusimikwa jana na Chifu Seni Wenceslau wa Kanadi ambaye pia ni Katibu wa Watemi, hafl iliyofanyika kwenye Makumbusho ya Utmaduni wa Kabila la Wasukuma Bujora.
Mtemi wa Kndi, wilayani Busega, Chifu Seni Wenceslaus akimvisha vazi la utemi Mkuu wa Wilaya ya Magu, Salum Kalli na kupewa na jina la Masanja jana hafla iliyofanyika kwenye Makumbusho ya Utamaduni wa Kabila la Wasukuma Bujora jana.
Mkuu wa Wilaya ya Magu, Salum Kalli Masanja akionyesha vitu mbalimbali na badhi ya wazee na watemi kabla ya kusimikwa kuwa Mtemi wa Wasukuma na kuitwa jina la Masanaj au mkusanya watu.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...