Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiapa mara baada ya kuchaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la 12, Jijini Dodoma.

Naibu Spika wa bunge la 12 Mhe.Dkt.Tulia Ackson kupitia chama cha Mapinduzi (CCM) akiwashukuru wabunge waliomchagua kwa kishindo wakati wa Bunge la 12 Jijini Dodoma leo tarehe 12 Novemba 2020.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...