Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Bi. Visensia Kagombora akizungumza na Maafisa Utumishi wa RUWASA katika kikao kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa kikao cha Maafisa Utumishi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wakimsikiliza Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa RUWASA, Bi. Visensia Kagombora (hayupo pichani) katika kikao kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya washiriki wa kikao cha Maafisa Utumishi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wakimsikiliza Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu wa RUWASA, Bi. Visensia Kagombora (hayupo pichani) katika kikao kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...