Makamu
wa Rais Samia Suluhu Hassan akiapishwa na Jaji Mkuu wa Mahakama Kuu ya
Tanzania Profesa Ibrahim Juma kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania muda mfupi mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuapishwa katika sherehe
zilizofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo Novemba 05
2020.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...