Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Waislamu wengine kubeba jeneza la Marehemu Mzee Iddi Mohamed Said Bavuai kabla ya kumswalia katika Msikiti wa Maisara Jijini Zanzibar na Kuzikwa leo Kijijini kwao  Shakani Wilaya ya Magharibi”B”.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na baadhi ya Waislamu  katika kumswalia Marehemu Mzee Iddi Mohamed Said Bavuai katika Msikiti wa Maisara Jijini Zanzibar na Kuzikwa leo Kijijini   kwao  Shakani Wilaya ya Magharibi”B” Mkoa wa Mjini Magharibi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa tano kulia) amejumuika na baadhi ya Waislamu  kwa kuitikia dua iliyoombwa baada ya kumswalia Marehemu Mzee Iddi Mohamed Said Bavuai katika Msikiti wa Maisara Jijini Zanzibar na Kuzikwa leo Kijijini   kwao  Shakani Wilaya ya Magharibi”B” Mkoa wa Mjini Magharibi.[Picha na Ikul

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...