RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akihutubia baada ya kumaliza
kuwaapisha Mawaziri aliowachagua hivi katika, wakati wa hafla hiyo
iliofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 21/11/2020 na
kutowqa nasaha zake kwa Viongozi aliowaapisha leo.(Picha na Ikulu) WAHESHIMIWA Mawaziri wakifuatilia hutuba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Mhe. Dk. Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Mawaziri
katika viwanja vya  Ikulu Jijini Zanzibar leo.(Picha na Ikulu)

WAKUU wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia

hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha
Mawaziri katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 21/11/2020.(Picha
na Ikulu)BAADHI ya Viongozi wa Dini mbalimbali Jijini Zanzibar
wakihudhuria hafla ya kuapishwa Mawaziri  katika viwanja vya Ikulu
Jijini Zanzibar leo 21/11/2020.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...